THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Prof. Lilian Msele

Chairperson

Agness Mtawa

Registrar

News & Events

MSAJILI TNMC AMEWAPONGEZA WAUGUZI VIONGOZI KWA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO

MSAJILI TNMC AMEWAPONGEZA WAUGUZI VIONGOZI KWA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Bi.Agnes Mtawa, amewapongeza wauguzi viongozi kwa kuendelea kutoa ushirikiano mkubwa katika utendaji wa majukumu ya Baraza katika maeneo yao ya kazi. “Nitumie fulsa hii kuwapongeza kwa kazi

Read More
TUTATUE MIGOGORO MIDOGOMIDOGO KAZINI KWETU

TUTATUE MIGOGORO MIDOGOMIDOGO KAZINI KWETU

Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania(TANNA) Bwana Alexanda Balulya, amesema kuna umuhimu wa kushirikiana katika utendaji kazi wawapo vituo vya kazi na kuiheshimu tasnia ya Uuguzi na Ukunga nchini. “Ubaguzi wakitaaluma hautakiwi katika utendaji kazi,

Read More
NI LAZIMA TUZALISHE WAUGUZI NA WAKUNGA WENYE WELEDI

NI LAZIMA TUZALISHE WAUGUZI NA WAKUNGA WENYE WELEDI

"Ilituweze kuboresha huduma ya jamii inatakiwa kuwa na wauguzi wenye sifa ya kuhudumia jamii, “ni kweli tukubali kuwa tupo na shida ya walimu wasio na sifa ya kufundisha wanafunzi haiwezekani mwalimu umetoka chuo ukaenda kufundisha

Read More
TNMC: WAUGUZI VIONGOZI SIMAMIENI VYEMA MAADILI KATIKA VITUO VYENU.

TNMC: WAUGUZI VIONGOZI SIMAMIENI VYEMA MAADILI KATIKA VITUO VYENU.

Mkurugenzi wa Usajili, Leseni na Maadili kutoka TNMC Bi. Jane Mazigo amewataka Wauguzi viongozi kutoka ngazi zote za kutolea huduma za Afya nchini kusimamia vyema huduma za Afya nchini sambamba na kuhakikisha huduma ya Uuguzi

Read More
PREV NEXT

Sheria

Sheria No. 1 ya Mwaka 2010

Kanuni

Kanuni za Baraza

Mahitaji ya kuanzisha Chuo

Nursing School Establishment Checklist

MWONGOZO

Nursing and Maternity Home

Some of our Partners